Friday, December 30, 2011

Serikali: Al-Shabaab wanashirikiana na wenyeji akina X-Paster mwenye Al Jihad Islamic

Al-Shabaab
Waziri Shamsi Nahodha
Kupitia safu hii, tumehakikisha tunawaletea siri za ndani kabisa kuhusu kundi la kigaidi la Al-Shabaab.
Umeshaona jinsi kundi hilo hatari Afrika Mashariki linavyofanya kazi na namna vijana wa Kitanzania wanavyojiunga nalo.
Kubaini yote hayo, uliona jinsi kijana, Aizak Ibnu, 20, alivyosimulia namna yeye na wenzake 24, walivyojiunga na Al-Shabaab lakini 23 walipoteza maisha.

Ipo hatari ya Al-Shabaab kuvamia Tanzania kama ambavyo wamefanya Kenya. Kutokana na tishio hilo, wiki iliyopita, mwandishi wa makala haya, alifanya mahojiano na viongozi wenye mamlaka ya usalama wa nchi.
Waliozungumza ni Waziri wa Mambo ya Ndani, Shamsi Vuai Nahodha na Mkurugenzi wa Upelelezi na Makosa ya Jinai (DCI), Robert Manumba.
Wote walisema kuwa wananchi wawe makini kwa sababu Al-Shabaab hushirikiana na wenyeji kufanikisha uhalifu wao.
WAZIRI NAHODHA
Waziri Nahodha alikiri kuwa Al-Shabaab ni hatari, hivyo akawatahadharisha wananchi kuwa makini kwa sababu kundi hilo lina mtandao mpana ndani ya Afrika Mashariki.
“Wananchi wahakikishe  wanachukua tahadhari kila sehemu na kutoa taarifa katika vyombo vya dola wakimuona mtu ambaye wana wasiwasi naye.

“Ni vema kuchukua tahadhari mapema na nichukue nafasi hii kuwaomba wananchi kuwa macho kuhusu kikundi hicho. Niwahakikishie kwamba nimewaagiza askari wa idara ya uhamiaji kuhakikisha ulinzi unaimarishwa mipakani.
“Nimewaagiza pia askari polisi kwa kushirikiana na wananchi kupitia polisi jamii, kuhakikisha wanawakamata watu wa mtandao huo popote pale walipo na kuwachukulia hatua za kisheria,” alisema Nahodha.

Friday, December 23, 2011

Tishio la Al Shabaab Zanzibar

Na Faki Mjaka-Maelezo Zanzibar 23/12/2011

Jeshi la Polisi Kanda ya Zanzibar limeiomba Jumuiya ya Maendeleo ya Wavuvi ya Watu wa Kojani (KOFDO) kutoa ushirikiano wa kiulinzi katika maeneo ya Baharini ili kuweza kukabiliana na tishio linaloweza kufanywa na Kundi la Alshabbab.

Wito huo umetolewa leo kupitia Mkuu wa Kituo cha Polisi Bububu Inspekta Mwatum Omar Hassan alipokuwa akizungumza na jumuiya hiyo katika Ukumbi wa CCM Mtoni Mjini Zanzibar.

Amesema kwa vile Kundi la Alshabbab linafanya hujuma zake kupitia maeneo ya baharini,Wakojani wanaweza kusaidia sana kuepusha hujuma hizo kwa vile shughuli zao za kila siku huzifanyia baharini

Inspecta Mwatum amewataka Wanajumuiya wa KOFDO kufanya kazi ya ulinzi shirikishi katika eneo la Baharini kwa kutoa taarifa kwa jeshi hilo pale ambapo wataviona vyombo vigeni vya baharini na kuvitilia shaka.

“Kama mtaona Chombo kigeni kwenu baharini chenye watu wenye wasifu wa Kisomali au Kiethiopia basi mtusaidie kuleta taarifa katika Jeshi letu, maharamia hawana wema kazi yao ni hujuma tu” Alisema Ispecta Mwatum

Aidha Inspeta Mwatum amewataka wanajumuiya hiyo kuwafichua wale wote wanaoendesha biashara za magendo na madawa ya kulevya katika maeneo ya mwambao na kuwahakikishia ushirikiano kutoka kwa jeshi hilo.

Ameeleza kuwa taarifa ambazo wanajumuiya hiyo watazitoa kwa Jeshi la Polisi zitakuwa siri na kuahidi kuzifanyia kazi ipasavyo ili kuweza kuepukana na madhara ambayo yanatokana na magendo.

Kwa upande wao wanajumuiya hiyo wamelishukuru Jeshi la Polisi kwa kuonesha ushirikiano wao kwa Jumuiya hiyo na kuahidi kufanya kazi kwa pamoja na Jeshi hilo.

Aidha wamelitaka Jeshi hilo kufanya kazi ya ziada ya kuwakutanisha wao na Idara ya Uvuvi Zanzibar ambayo imekosa mashirikiano ya dhati na Jumuiya hiyo.

Wamesema kama ambavyo Jeshi hilo limeonesha njia kwa ajili ya kufanya kazi kwa pamoja na Jumuiya hiyo,ndivyo ambavyo wangependa pia kufanya kazi na Idara ya Uvuvi na Mazingira.

Jumuiya ya Maendeleo ya Wavuvi ya Watu wa Kojani (KOFDO) ni jumuiya ambayo wanachama wake ni wavuvi ambao hufanya kazi za kivuvi mchana na usiku katika Bahari ya Hindi ambapo Makao Makuu yake yapo Mtoni Mjini Zanzibar.

Wednesday, December 21, 2011

Koran contest kids get guns, grenades


Printer-friendly version


For the last three years a Somali radio station run by the al-Shabab militant Islamist group has held a knowledge and Koran-reciting contest for children ages 10 to 17 during the month of Ramadan.

The prizes in this year's contest? Assault rifles and live grenades!
The station, based near the capital, Mogadishu, awarded an AK-47 assault rifle and the equivalent of $700 to the first-place group. The second-place group received an AK-47 and the equivalent of $500, while those who placed third received two live hand grenades and $400.
The al-Shabab group is linked to al-Qaeda and was recently forced out of Mogadishu, though it still controls much of central and southern Somalia.
"Youths should use one hand for education and the other for a gun to defend Islam," said al-Shabab official Mukhtar Robow at the prize awards ceremony, held not far from Mogadishu. Pictures of the awards ceremony appeared on a website affiliated with the group.
Winners also received Islamic religious books. Prizes in previous years included a rocket-propelled grenade launcher and anti-tank mines. Somalia has been in the news in recent years due to the twin plagues of drought and piracy, with Muslim pirates preying on shipping and pleasure boats in the Indian Ocean. (Sources: BBC News, The Guardian[London].)

Sunday, December 18, 2011

****HATARI**** Al Shabaab yaanza kazi ya Ugaidi



Na Mwandishi Wetu
TAIFA linapita katika kipindi kigumu, mtafaruku wa sakata la Katiba Mpya, ufisadi Wizara ya Nishati na Madini, tishio la kujichomeka nchini kundi hatari la Wasomali, Al Shabaab, migogoro ya wanafunzi, wamachinga, ardhi na mengine yote lakini yanabaki nusu shari.

Shari kamili ni ujumbe mkali kutoka kwa waasi uliotumwa kwa viongozi wa nchi, wakiwataka kuachia madaraka ndani ya siku 100, vinginevyo watawaondoa kwa nguvu.

Habari za ndani zinasema kuwa ujumbe huo hatari, umetumwa kupitia waraka pepe na SMS kwenda kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Jakaya Kikwete, wakimpa siku 100 awe ameachia madaraka, vinginevyo wahusika watatumia nguvu.
Ujumbe huo, umeelekezwa pia kwa Makamu wa Rais, Dk. Mohamed Gharib Bilal na Waziri Mkuu, Mizengo Pinda.

Waziri wa Mambo ya Ndani, Shamsi Vuai Nahodha amesema kuwa serikali inafanya uchunguzi kuweza kuwabaini wahusika na kuwataka wananchi watoe ushirikiano.

Imeelezwa kuwa waraka huo umetumwa na kiongozi wa kikundi cha watu 2,858 ambacho kimejitambulisha kwamba kinatokana na muungano wa askari waajiriwa kutoka majeshi mawili nchini.

Katika madai yao ya msingi, kikundi hicho kinadai kuwa viongozi waliopo madarakani wameshindwa kazi ya kuongoza nchi, hivyo wamewapa siku 100 waondoke, vinginevyo watatumia nguvu kuwaondoa.

“Jeshi la polisi limeanza kufanya uchunguzi kubaini watu hao na wakipatikana tuanze kuwahoji ili hatua zichukuliwe,” alisema Nahodha.

Nakala ya waraka huo wa vitisho ulitumwa pia kwa Jeshi la Polisi Tanzania, Jeshi la Wananchi Tanzania (JWTZ), Jeshi la Kujenga Taifa (JKT), Idara ya Usalama wa Taifa Makao Makuu, Wizara ya Mambo ya Nje, Benki Kuu ya Tanzania (BOT) na ubalozi wa Marekani Tanzania.

Nakala nyingine zimetumwa kwa Kamanda Mkuu wa Al Shabaab, ubalozi wa Uingereza Tanzania, Umoja wa Mataifa (UN), Umoja wa Afrika (AU), mashirika yasiyo ya kiserikali ya ndani na nje ya Tanzania pamoja na vyombo vya habari.

HOFU YATANDA
Wakati vitisho hivyo vinatokea, kikundi cha Al Shabaab kinachotikisa nchi za Somalia na Kenya, kinatajwa kuweka kambi Dar es Salaam na kuendesha mafunzo ya ugaidi ili kuandaa mapambano ya kile wanachokiita Jihad ya kuihami Dini ya Kiislam.

Thursday, December 15, 2011

Hawa ndio wenye Jamii Forum

RIPOTI ya “kikosi kazi” kilichoundwa na mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Jakaya Kikwete kutathmini uchaguzi mkuu uliopita, imejaa udanganyifu.
Kikosi kazi kiliongozwa na Wilson Mukama ambaye hivi sasa ni katibu mkuu wa CCM na Profesa Eginald Mihanjo wa Chuo Kikuu cha St. Jones cha Dodoma.
  MwanaHALISI limegundua kuwa miongoni mwa yaliyodanganywa ni kuhusu umiliki wa mtandao mashuhuri nchini wa Jamii Forum (JF).
Inaelezwa kwamba ripoti ya Mukama inautaja mtandao wa Jamii Forum kuwa unaundwa na vijana kutoka Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA).
Lakini uchunguzi wa MwanaHALISI unaonyesha kuwa mtandao huo hauna uhusiano wowote na Chadema.
Kwa mujibu wa nyaraka kutoka Wakala wa Serikali wa Biashara na Leseni (BRELA), JF inamilikiwa na kampuni ya Jamii Media Company Limited iliyosajiliwa 2 Julai 2008 na kupata hati Na. 66333.
Wanahisa wa kampuni hiyo, ni Steven Diallo, mwenye hisa 40, Maxence Melo mwenye hisa 250, Mike Mushi, mwenye hisa 250, Dickson Charles, hisa 40 na Lameck Mussa mwenye hisa 40.
Wanahisa wengine, ni mwandishi wa habari Mbaraka Islam, mwenye hisa 100 na William Malecela, mtoto wa makamu mwenyekiti mstaafu wa CCM, John Malecela, mwenye hisa 40. 
Steve Diallo mtoto wa mjumbe wa NEC na mbunge wa zamani wa Ilemela (CCM), Anthony Diallo.
Rais Kikwete aliunda kikosi kazi muda mfupi baada ya kutoa hotuba ya kuadhimisha miaka 34 ya kuzaliwa kwa CCM, mjini Dodoma.
Kikosi kilipewa jukumu la kufanya utafiti juu ya mambo ambayo yanaigharimu CCM na ambayo yalisababisha ishindwe kushinda kwa kishindo katika uchaguzi uliopita.
Katika taarifa yake, Mukama anasema kikosi kazi hicho kiligundua kuwa “kunahitajika udhibiti wa vyombo vya habari vya kijamii (social media) kama vile simu za mkononi, twitter au u-tubes.”
Anasema, vyombo hivyo ndivyo vyenye nguvu kubwa katika kuhamasisha watu, akitoa mfano wa Jamii Forum aliyodai inaundwa na vijana wa Chadema.
Mukama alisema vijana hao wanafanya kazi hatarishi “kwa chama chetu na serikali yake kwa kutoa taarifa nyingi za upotoshaji ambazo zinasomwa na watu wengi sana duniani, hasa vijana.”
Gazeti hili lilipomtafuta William Malecela anayeishi New York, Marekani, kujua iwapo ni mwanachama wa Chadema alisema, “Si kweli hata kidogo.”
Alisema yeye ni mwanachama mwaminifu wa CCM, na kwamba hivi sasa yuko mbioni kufungua tawi la chama hicho mjini New York Marekani.
Alisema, “Tatizo la watu wa CCM hawataki kusoma, badala yake wanakuja na ripoti za kuokoteza mitaani. Mimi ni mwanzilishi wa JF, nimekuwa huko tangu kuanzishwa kwake mwaka 2006.”
Kwa upande wake Maxence Melo, anasema wakati mtandao huo unaanzishwa mwaka 2006 kabla ya kampuni kusajiliwa mwaka 2008, kulikuwa na watu wengi sana, wakiwamo vigogo wa CCM.
Anasema miongoni mwa wanachama wa mtandao huo, ni Nape Nnauye, Hussen Bashe na Khamisi Kigwangala.
Anasema mbali na wanachama hao wanaofahamika kwa majina yao, wapo wanachama na viongozi wengi wa CCM, wanaotumia majina bandia.
Naye Islam, mkurugenzi mwingine wa kampuni hiyo amesema, “Hawa watu wameshindwa hata kwenda BRELA  kutafuta nyaraka. Hayo yote yaliyosemwa na CCM hayana ukweli hata kidogo. Huo ni uchovu wa kufikiri.”
Kuibuka kwa taarifa hizi kumekuja wiki mbili baada ya Rais Kikwete kunukuliwa akisema, “…chama hiki hakiwezi kuendelea kubaki na wezi.”
Kikwete alikuwa akinukuu taarifa ya Mukama iliyosema kushindwa kwa CCM, kumetokana na chama kutuhumiwa kukumbatia watuhumiwa wa ufisadi.
Ripoti ya Mukama ndiyo inayotumiwa na Kikwete kutaka kuwafukuza kutoka katika chama hicho wanaowaita “mafisadi” – Edward Lowassa, Rostam Aziz na Andrew Chenge.

Tanzanian Al Shabaab Under Arrest in Somalia

Dar es Salaam — Ten Tanzanians have been arrested in Mogadishu fighting alongside Al Shabaab Muslim militants, Home Affairs minister Shamsi Vuai Nahodha said in Dar es Salaam yesterday.

This is the first official public confirmation linking Tanzanian nationals to the terror group, which is fighting both the Somali transitional government and an African Union peacekeeping force. Three weeks ago, Kenya also sent in its army to fight the militants after the abduction of several people on Kenyan soil blamed on Al Shabaab.

Mr Nahodha told journalists that security agencies were investigating reports that a number of businessmen in the country, including some of Somali origin, have been recruiting Tanzanian youths on behalf of the group.


"We have information to the effect that Al Shabaab recruiting agents are working in the country. We have information on people trying to convince Tanzanian youths to join Al Shabaab," he said.The minister also linked the development to the massive illegal immigration of people from the Horn of Africa travelling southward, saying some of the illegal immigrants might have connections with the terror group.

Mtanzania aliyejiunga na Al Shabaab afukuzwa kwao

WIKI mbili zilizopita tuliwaletea habari jinsi Watanzania  wanavyojiunga na wapiganaji wa kikundi cha kigaidi cha Al Shaabab.

Ilikuwa tuendelee kuwaletea mfululizo huu lakini wiki iliyopita matatizo yaliyo nje ya uwezo wetu yalifanya tushindwe kuwaletea makala haya.

Katika toleo hili tumeamua kuwaletea mahojiano  yaliyofanyika jijini Dar es Salaam kati ya mwandishi wa makala haya  na Aizak Abnu ILah (20) ambaye anaeleza sababu  zilizofanya afukuzwe nyumbani kwao na kwa sasa yuko wapi na anafanya nini.

 Kijana Ilah ni kati ya vijana 25 waliojiunga na Al Shabab ambapo 23 waliuawa na kubakia wawili, waliomua kutoroka na kurejea nchini Tanzania.

Hivi karibuni baada ya kuponea chupuchupu kuuawa katika  mapigano makali huko Somalia kati ya majeshi ya serikali  ya nchi hiyo na Umoja wa Mataifa (UN) dhidi ya Kundi la Al Shaabab, kijana huyo akiwa jijini Dar alianza kueleza kama ifuatavyo:

Friday, December 2, 2011

Zanzibar Muslims Stop Church Building, Erect Mosque

NAIROBI, Kenya (Compass Direct News) – On an island off the coast of East Africa where the local government limits the ability of Christians to obtain land, officials in one town have colluded with area Muslims to erect a mosque in place of a planned church building.

On the Tanzanian island of Zanzibar, Pastor Paulo Kamole Masegi of the Evangelistic Assemblies of God had purchased land in April 2007 for a church building in Mwanyanya-Mtoni, and by November of that year he had built a house that served as a temporary worship center, he said.
Masegi intended for the house to serve eventually as his family’s home within the church compound, but on Nov. 11, 2007, his congregation began to worship there.
Soon area Muslim residents objected, saying they didn’t like seeing the church in the area, said Pastor Lucian Mgaywa of the Church of God in Tanzania.
“This was the beginning of the church’s tribulations,” Pastor Mgaywa said.
In August 2009, local Muslims began to build a mosque just three feet away from the church plot, Pastor Mgaywa said. In November 2009, Pastor Masegi began building a permanent church structure. Angry Muslims invaded the compound and destroyed the structure’s foundation, the pastors said.

Tanzanian Court Acquits 2 Evangelists of 'Illegal Preaching'

NAIROBI, Kenya (Compass Direct News) – A Tanzanian court on Thursday acquitted two evangelists of “illegal preaching.”

After 10 months of hearings, a Kariakoo area court in Dar es Salaam closed the case against Anglican Christians Eleutery Kobelo and Cecil Simbaulanga, who were arrested in October 2009 after Muslims invited them to participate in a religious debate at which the opponents did not appear, but authorities did.
The two evangelists maintained that no Muslims showed up to the neutral site of the supposed inter-faith debate until Islamists arrived with government security agents who charged them with “using religious sermons to incite Muslims and Christians into viewing each other with suspicion.”
The accusers had claimed that the Christians’ message that Jesus is God had annoyed Muslims and therefore disrupted a peaceful coexistence between those of the two faiths.
Kobelo told Compass by telephone that the Muslims failed to show up in court to support their allegation of illegal preaching. After the verdict, Christians shouting for joy greeted the evangelists as they left the courtroom, he said.

Muslims Seize Christian Burial Sites in Tanzania

ZANZIBAR, Tanzania (CDN) - Influential Muslims on this East African island have begun building what appears to be a hotel on a 100-year-old burial site owned by an Anglican church, Christian leaders said


Church leaders with ownership papers for the land told Compass they are disturbed that authorities have taken no action since they filed a police complaint in December about the seizure of the burial site three kilometers (nearly two miles) from Zanzibar city’s airport. Tanzania’s Zanzibar archipelago, including the largest island of Zanzibar (officially known as Unguja), is 99.9 percent Muslim.
“We see that the government is partisan and would not like to see the church grow in Zanzibar,” the Rev. Canon Emmanuel John Masoud told Compass. “The retired Chief Justice Augustino Ramadani, who is a member of the Anglican church, was appointed to be a link between the church and the government to facilitate the negotiation process, but it seems that nothing is bearing fruits. Hence the church is not supported in any way.”
Masoud led church members from nearby Mbueni to the site to offer prayers on Dec. 29, 2010, two days after the daughter of former Zanzibar President Amani Abeid Karume placed boundary markers and a metal storage container full of belongings on the land, indicating the take-over. Karume, who erected a fence on the property to indicate it was now included in his residential area, is the vice chairman of the Chama Cha Mapinduzi, a political party of which Tanzanian President Jakaya Kikwete is chairman.

Wednesday, November 30, 2011

Tanzanian- Al Jihad Islamic: Muslims Burn Down Zanzibar Church

The almost inevitable result of new church building in Muslim-majority countries
The almost inevitable result of new church building in Muslim-majority countries
Another Zanzibar church burning – another pre-Bombadan gesture of Interfaith Dialogue™ to the tiny Christian population of this Tanzanian island outpost:

Muslim extremists on Saturday (July 30) burned down a church building on Zanzibar island off the coast of Tanzania, church leaders said, just three days after another congregation’s facility on the island was reduced to ashes.

In Fuoni on the south coast of Zanzibar (known locally as Unguja), Islamic extremists torched the building of the Evangelical Assemblies of God-Tanzania (EAGT) at around 2 p.m., said Pastor Leonard Massasa, who oversees Zanzibar’s EAGT churches. The assailants were shouting, “Away with the church – we do not want infidels to spoil our community, especially our children,” Pastor Massasa said.

Tuesday, July 19, 2011

Moham-mad(pbuh) foretold Hell destination

The greatest difference between Allah and Elohim is that Allah promised hell fire and torture for his follower while Elohim promised heaven and eternal life for his followers! Mohammed could portrait and visualize it while he was in this world as we read in this Hadith:
Volume 1, Book 12, Number 770:
Narrated Abu Huraira:
The people said, "O Allah's Apostle! Shall we see our Lord on the Day of Resurrection?" He replied, "Do you have any doubt in seeing the full moon on a clear (not cloudy) night?" They replied, "No, O Allah's Apostle!" He said, "Do you have any doubt in seeing the sun when there are no clouds?" They replied in the negative. He said, "You will see Allah (your Lord) in the same way. On the Day of Resurrection, people will be gathered and He will order the people to follow what they used to worship. So some of them will follow the sun, some will follow the moon, and some will follow other deities; and only this nation (Muslims) will be left with its hypocrites. Allah will come to them and say, 'I am Your Lord.' They will say, 'We shall stay in this place till our Lord comes to us and when our Lord will come, we will recognize Him. Then Allah will come to them again and say, 'I am your Lord.' They will say, 'You are our Lord.' Allah will call them, and As-Sirat (a bridge) will be laid across Hell and I (Muhammad) shall be the first amongst the Apostles to cross it with my followers. Nobody except the Apostles will then be able to speak and they will be saying then, 'O Allah! Save us. O Allah Save us.'